Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
Wana jf naombeni ushaur wenu nipo ktk kipnd kigumu sana,nina mpenz wangu wote tunapendana ila kati 2lisalitiana bt tukaahd kufungua ukurasa upya wote 2we wa kweli na 2kapenda kutokana na kutafuta maisha 2ko mbali kimkoa ila 2nawasiliana kila cku cha kushangaza na mpigia cmu jion hii anapokea mwanaume then anajitambulisha yy ni mpenz wake,naombeni ushaur wenu na wote 2najua kama mapenz yanatesa na kuumiza,its beter kutocoment kuliko kucoment ma2si au vbaya