ww ndo una uamuzi kwa sababu huyo ndo sijui future wife au lah kama tabia ndio hiyo mmmmmh hali itakua tete mkifikia hatua ya kujenga familia,muite mueleze kinagaubaga umpe muda achekeche ubongo wake aamue kati ya kukusikiliza ww na pombe nn kinamfaa zaidi,akitambua kipi ni cha muhimu atachagua yeye,simple like that usijeshangaa mama kajikojolea na mtoto kajikojolea sijui utamsaidia nani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!