haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 837
- 1,550
Wiki mbili zilizopita niliweka uzi juu ya usaliti niliofanyiwa na ukweli ni kuwa siku za mwanzo nilikuwa na nguvu sana lakini kadr isiku zilivyozidi nilijiona kuwa mnyonge na kukosa furaha huku nikiwa sioni dalili ya yeye kuniomba msamaha kua hatarudia.
Nimeona bora niusikilize moyo. Nimerudiana nae at least naona mambo yanakaa vizuri sasa ivi, japo nikikumbuka naumia kidogo.
Nimeona bora niusikilize moyo. Nimerudiana nae at least naona mambo yanakaa vizuri sasa ivi, japo nikikumbuka naumia kidogo.