Aiseee mbona mimi ni opposite. Kuna sister alikuwa ananipenda mimi simpendi. Nikaanza kuwa karibu nae ili asinichukie, badala yake mimi ndie ninaempenda now
Alishaniambia she will never be with me. Hahahahha anyway angejua nina kababe. Tho I wonder, can you love two people at once? Wana Jf naomba mnijibu.