Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,900
Nilimpenda yeye hakunipenda (hapa kipindi nafukuzia mzigo kwa speed ya bila tochi). Amenipenda mimi simpendi tena, maana nilikwisha piga nyama chini na kuendelea na mitikasi yangu na sitaki kuwa naye.
*Mimi nilitaka muonesha jinsi wanaume wanavyojua (wao) wanaita kutia majeraha ya moyo bila ajali.*
*Mimi nilitaka muonesha jinsi wanaume wanavyojua (wao) wanaita kutia majeraha ya moyo bila ajali.*