mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 491
- 476
Ni mambo ya ajabu, kuwa na mahusiano na mtu asiyekuwa na moyo wa kutoa, anayetoa na mnapogombana ama kupishana anadai vitu vyake.
Kuna msichana alimpa mwanaume simu, baada ya mwanaume simu yake kubwa kuharibika. Lakini kwa muda hawakuweza kuonana na ndipo mwanamke alipowaza ni bora achukue simu yake aachane na mwanaume huyo. Alipomwambia mwanaume akakataa kumpelekea simu.
Sasa mwanaume anahaha baada ya kusikia habari za kumtisha, amemtafuta mwanamke wake kwenye simu hakumpata, akaamua kumpigia rafiki wa mwanamke wake, ndio akampa taarifa kuwa " mwenzio katoka amezima simu ili usimpate, kasema anaenda kwa Mganga akakuroge".
Kuna msichana alimpa mwanaume simu, baada ya mwanaume simu yake kubwa kuharibika. Lakini kwa muda hawakuweza kuonana na ndipo mwanamke alipowaza ni bora achukue simu yake aachane na mwanaume huyo. Alipomwambia mwanaume akakataa kumpelekea simu.
Sasa mwanaume anahaha baada ya kusikia habari za kumtisha, amemtafuta mwanamke wake kwenye simu hakumpata, akaamua kumpigia rafiki wa mwanamke wake, ndio akampa taarifa kuwa " mwenzio katoka amezima simu ili usimpate, kasema anaenda kwa Mganga akakuroge".