Amenichamba kimatumbi! Who are me?

Amenichamba kimatumbi! Who are me?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,886
Reaction score
828,469
Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu
Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi

Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu.. Kaalika marafiki wa rika lake na wa kaliba yake.. Kaweka kikoa cha vichambo na michambo
Who are me?
Lakini nabaki najiuliza..!
Me ya nini?
Why me?
Yaani who are me!
Mimi kwa nini?
Mimi toka lini?
Mimi kwa sababu ipi?
Mimi kwa sababu gani?
Nikidhani atakuwa mnyenyekevu mwenye tafakuri na majuto.. Lakini wapi bwana! Kilichoonekana na kiburi majivuno na kazalika nyingi sana
Nikangundua kumbe sikukosea asilani kumpiga kibuti
who-are-you.jpg
 
Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu
Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi

Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu.. Kaalika marafiki wa rika lake na wa kaliba yake.. Kaweka kikoa cha vichambo na michambo
Who are me?
Lakini nabaki najiuliza..!
Me ya nini?
Why me?
Yaani who are me!
Mimi kwa nini?
Mimi toka lini?
Mimi kwa sababu ipi?
Mimi kwa sababu gani?
Nikidhani atakuwa mnyenyekevu mwenye tafakuri na majuto.. Lakini wapi bwana! Kilichoonekana na kiburi majivuno na kazalika nyingi sana
Nikangundua kumbe sikukosea asilani kumpiga kibutiView attachment 3510458
Asalaaale yani ndivyo shemeji alipofikia huko ila sishangai wakishapigwa kitu kizito ndo hujitia huruma mpe muda tu. NA HONGERA KWAKUSIMAMIA MISIMAYAKO 😎
 
Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu
Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi

Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu.. Kaalika marafiki wa rika lake na wa kaliba yake.. Kaweka kikoa cha vichambo na michambo
Who are me?
Lakini nabaki najiuliza..!
Me ya nini?
Why me?
Yaani who are me!
Mimi kwa nini?
Mimi toka lini?
Mimi kwa sababu ipi?
Mimi kwa sababu gani?
Nikidhani atakuwa mnyenyekevu mwenye tafakuri na majuto.. Lakini wapi bwana! Kilichoonekana na kiburi majivuno na kazalika nyingi sana
Nikangundua kumbe sikukosea asilani kumpiga kibutiView attachment 3510458
1764682400568.png
 
Unyenyekevu na Majuto vimepita mbali nae, mbali na upeo wa macho yake, mbali na utu na ubinadamu mbali na ufahamu wa fikra huru ambazo pia sidhani kama aliwahi kuwa nazo, lakini kama haitoshi mbali kabisa na roho ya kibinadamu bali roho ya kishetani kunyofoa uhai wa wengine anavyo kwa 97% sawa kabisa na ule unyang'anyi alio ufanya.

Ufalme ni wake na yeye ndio mfalme iwe tunampenda ama tunamchukia .

WHO ARE WE?
 
Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu
Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi

Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu.. Kaalika marafiki wa rika lake na wa kaliba yake.. Kaweka kikoa cha vichambo na michambo
Who are me?
Lakini nabaki najiuliza..!
Me ya nini?
Why me?
Yaani who are me!
Mimi kwa nini?
Mimi toka lini?
Mimi kwa sababu ipi?
Mimi kwa sababu gani?
Nikidhani atakuwa mnyenyekevu mwenye tafakuri na majuto.. Lakini wapi bwana! Kilichoonekana na kiburi majivuno na kazalika nyingi sana
Nikangundua kumbe sikukosea asilani kumpiga kibutiView attachment 3510458
Sasa anachamba mbele ya wazee hawana ata meno kama anajiamini awaite Gen Z awachambe kama atatenguliwa hicho kiuno
 
Back
Top Bottom