Daa namkubali mtu angu..naumia kichizi mpaka sometimes huwa nahic alikua akiniona underground Sana coz nlimshobokea sanMdogo wangu kwani mapenzi ni basic need? Au kupendwa?
Ha ha utoto unamsumbua yeye so Mimi..mtu mzima Mimi be black starlineNyie wote utoto unawasumbua
Wadau mpo salama bila Shaka..
Miezi kadhaa nilimtokea dada fulani hivi nikamwambia namna gani nilikwa nampenda Sana. Akasema anashukuru Sana kupendwa na Mimi..Nikasema poa ,but halikwa jibu sahihi kusema hivyo. Baadae akanambia pia Hana mtu pale MZUMBE asomapo.
Mzee mzima Nikasema nimewini, isitoshe Ni mtoto mtoto kweli.
Kumchokonoa zaidi ndo akanambia atanipa jibu baada ya cku tatu,, nikasubiri wee ilipofika hyo cku akanambia eti ana mtu wake na anampenda san hawezi kumuacha.lakini eti nice na subira Pengine anaweza kunielewa..
Baada ya cku kadhaa nikakutana nae jibu likawa hilohilo..
Basi nikaridhia hakuna namna akufukuzae hakwambii toka. Kwanzia happo nikakauka c message Wala call.. lakini cku fulani fulani akawa hakosi kuntumia text GOOD NIGHT na zingine za mfanowe..
Basi mi nilikwa nikishukuru tu na kumwambia jinci gani namzimia.
Shida iko hapa, wiki ilopita alintumia text,UCKU MWEMA nikaijibu vyema ahsante kwake pia I love her..
Nikaona c vyema kumkaukia mtoto Kama yule. Nikaanza shobo ndo nikaanza shobo z's kumpigia na text,, C NDO HAPO NIKAGUNDUA AMENIBLOCK KILA MAHALI WASAP, CALL, TEXT NA KWINGINEKO.
LAKINI CHA AJABU AKITUPIA PICHA KALI WASAP ETI ANANIFUNGULIA KUTOKA BLOCK..
WADAU MNISAIDIE..HUYU DADA VIPI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah nmekuelewa Sana ntajitahidi kufuata someone lako ndgu., dah let me think..
Anyway - kina wadada flani wanapenda kudindisha ili uwe mpole na unyenyekee kweli kweli, na ukikubaliwa kwa hali hio unaweza kujikuta upo under control, si a najua umezimika.
Ushauri, don't text mpaka a text, na akiweka picha utupie jicho no comments, at the end atakutafuta wewe na ukiongea nae jifanye mtu wa busy..
Anakutaka but kuna kamtege anakutega, be strong, muangalie speed yake, kwa sababu yako imefika jikomo na tuliza hio hio.
Sent using Jamii Forums mobile app
We mi so bushoke br..Hii inatoka kwangu moja kwa moja. Mwenyekiti wa Mabushoke ya Mkoani.
Huyo mnunulie mahindi debe moja, uwele na korosho gunia mbili. Asipokukubali twende kwa mganga tukamloge.
Ha ha ha mapenzi tuko nayo ,, hatuwezi kuyatenga br..maendeleo pia suala muhim lakin lazima vyote hivi tvkaribieUsiendekeze mapenzi, endekeza maendeleo...!
Narudia tena.We mi so bushoke br..
Huyu dogo Ni fire..hayo magunia+ madebe naanzia wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Saw mwenyekiti waoNarudia tena.
Mimi kama Mwenyekiti wa Mabushoke ya Mkoani fanya kila nilichosema kwanza ndiyo uanze kunipinga.
Ha ha ha mapenzi tuko nayo ,, hatuwezi kuyatenga br..maendeleo pia suala muhim lakin lazima vyote hivi tvkaribie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wengine sio lazima,,kwetu Ni lazima..yaani nikimona yule mtoto naungua moyoooMapenzi sio kitu cha lazima,