Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,125
- 6,141
Asilimia zaidi ya 99 ya dawa ambazo zinatengenezwa zinafeli kwenye stage mbalimbali nyingine zinafeli kwenye pre Clinical trials, nyingine kwenye Clinical trials nikimaanisha zinakuwa na
Nyingine zinafeli baada ya kuwa approval kupitia pharmacovigiliance zinaonyesha severe side effects kwa baadhi ya watu mfano mzuri ni
Sasa ukija kwenye paragraph ya kwanza na ya pili utaona hizo compound zinaitwa failed/abandoned therapeutics compound kama nilivyosema zipo nyingi sana
NIKIWA RAIS WA TANZANIA moja ya project kama nchi tutakayofanya ni kutengeneza database ya failed/abandoned/shelved therapeutics compounds
Naamini technologia ikikua kama nchi tutaweza ku-ameliorate failed/abandoned therapeutics compounds na kuweza kuingia sokoni na kuingizia nchi mapato
SIO LAZIMA TUFANYE SISI BALI TUTAWAACHIA VIZAZI VIVYO URITHI WA IDEA, NA METHODS ILI WAEZE KUENDELEZA TULIPOISHIA
Kama unataka njia zitumikazo kutengenezea dawa ni kama hizi zifuatazo nimeelezea kwenye huu uzi
www.jamiiforums.com
- Severe side effects
- Efficacy yake ni ndogo haifiki asilimia 40 kwa hiyo haziwe ingia sokoni
Nyingine zinafeli baada ya kuwa approval kupitia pharmacovigiliance zinaonyesha severe side effects kwa baadhi ya watu mfano mzuri ni
- chloroquine na Amodiaquine
- zile chanjo za carona kuna baadhi ya watu zilikuwa zinasababisha kuganda kwa damu na heart inflammation
Sasa ukija kwenye paragraph ya kwanza na ya pili utaona hizo compound zinaitwa failed/abandoned therapeutics compound kama nilivyosema zipo nyingi sana
NIKIWA RAIS WA TANZANIA moja ya project kama nchi tutakayofanya ni kutengeneza database ya failed/abandoned/shelved therapeutics compounds
Naamini technologia ikikua kama nchi tutaweza ku-ameliorate failed/abandoned therapeutics compounds na kuweza kuingia sokoni na kuingizia nchi mapato
SIO LAZIMA TUFANYE SISI BALI TUTAWAACHIA VIZAZI VIVYO URITHI WA IDEA, NA METHODS ILI WAEZE KUENDELEZA TULIPOISHIA
Kama unataka njia zitumikazo kutengenezea dawa ni kama hizi zifuatazo nimeelezea kwenye huu uzi
Zifahamu njia zitumikazo kutengeneza hizi dawa zinazouzwa pharmacy
Nikiwa Rais wa Tanzania kutakua na mpango wa kuzalisha dawa hapa Tanzania, je wajua njia za kutengeneza dawa??? Zifuatazo ni njia za kutengeneza dawa Kama nchi tutategeneze library kubwa itakayokuwa na chemical or compound zinazopatika kwenye nature na zinaposes unique features kama;- ENGULF...