CCM wanatumia hata misaada ya wahisani kufanya siasa. Haya magari Namba zake ni DFP - Donor Funded Project
Lakini sherehe ilifanyika na PM akagawa haya magari kama wamenunua ccm na yaka gaiwa kwa wabunge wa CCM.
Hizi ni pesa za Walipa kodi wa nje. Huku ndani Changeni wenyewe
Mbona nilishasema Mpwa?? Hayo ni magari ya msaada! Labda kama kuna maelezo mengine ya tofauti lakini kwa hali hio ni Mali ya Wahisani, huenda ni mabeberu
Hahahaha halafu donor kwa majimbo ya CCM, Mungu alivyo wa ajabu majimbo ya upinzani hali ni shwari. Kwa upande wa Bunge hadi sasa Ccm wanaongozà kwa 3-0 dhidi ya upinzani