meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Miaka ile ya themanini na ushee mambo yalikuwa hivi...
Baba:Mwanangu unapenda kufanya kazi gani ukiwa mkubwa?
Mtoto:Nataka kuwa dokta au nesi au rubani
Baba:Jitahidi usome sana mwanangu!
Miaka ya elfu mbili mwanzoni
Baba:Mwanangu unapenda kufanya kazi gani ukiwa mkubwa?
Mtoto:Nataka kuwa mtaalamu wa kompyuta!
Baba:Jitahidi kusoma lakini bahati mbaya sina uwezo wa kukununulia kompyuta ya kufanyia mazoezi.
Mtoto:Usihofu baba,nimeshajiunga na yahoo ukipenda nitakufungulia email account!
Baba:safi sana mwanangu una akili sana!nitakupa mia tano kila siku ya kwenda internet cafe!
Mwaka 2014
Baba:Mwanangu ungependa kuwa nani baada ya kumaliza masomo?
Mtoto:Mwanasiasa au waziri
Baba:mbona ukoo wetu hakuna talanta za uongozi?isitoshe mimi baba yako sina mchongo wowote kwenye kamati ya chama.
Mtoto:Usihofu baba kwanza nimeshajifunza matusi ya kutosha,pili nina mpango wa kupiga kadiploma kangu ka mwaka mmoja halafu najiunga na uvccm tawi la lumumba buku 7...au kama vipi najiunga na clauds fm!
Baba:safi sana mwanangu kwa sababu watangazaji wa TBC nafahamiana nao.Halafu fani ya kutangaza football haina watu kabisa.nitakufundisha michongo ya kifisadi,huu ndio mpango mzima...mambo ya kukomaa na masomo ya miaka mingi ni ufala halafu unazidi kuniletea umasikini!
Ngoja nimwambie mama yako tumeshatoka kimaisha!
Baba:Mwanangu unapenda kufanya kazi gani ukiwa mkubwa?
Mtoto:Nataka kuwa dokta au nesi au rubani
Baba:Jitahidi usome sana mwanangu!
Miaka ya elfu mbili mwanzoni
Baba:Mwanangu unapenda kufanya kazi gani ukiwa mkubwa?
Mtoto:Nataka kuwa mtaalamu wa kompyuta!
Baba:Jitahidi kusoma lakini bahati mbaya sina uwezo wa kukununulia kompyuta ya kufanyia mazoezi.
Mtoto:Usihofu baba,nimeshajiunga na yahoo ukipenda nitakufungulia email account!
Baba:safi sana mwanangu una akili sana!nitakupa mia tano kila siku ya kwenda internet cafe!
Mwaka 2014
Baba:Mwanangu ungependa kuwa nani baada ya kumaliza masomo?
Mtoto:Mwanasiasa au waziri
Baba:mbona ukoo wetu hakuna talanta za uongozi?isitoshe mimi baba yako sina mchongo wowote kwenye kamati ya chama.
Mtoto:Usihofu baba kwanza nimeshajifunza matusi ya kutosha,pili nina mpango wa kupiga kadiploma kangu ka mwaka mmoja halafu najiunga na uvccm tawi la lumumba buku 7...au kama vipi najiunga na clauds fm!
Baba:safi sana mwanangu kwa sababu watangazaji wa TBC nafahamiana nao.Halafu fani ya kutangaza football haina watu kabisa.nitakufundisha michongo ya kifisadi,huu ndio mpango mzima...mambo ya kukomaa na masomo ya miaka mingi ni ufala halafu unazidi kuniletea umasikini!
Ngoja nimwambie mama yako tumeshatoka kimaisha!