Kwa jinsi upepo unavyoenda wale wanyonge wa awamu ya tano changamkeni na komaeni maana mshaambiwa YATIMA HADEKI.
Kalipieni umeme fasta muda si mrefu tunarudi tulikotoka. Hata ule mradi wa JHHP naona utaachwa tunarudi kwenye bomba letu la gesi la mtwara na mitambo ya akina Rugemarila.
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Kalipieni umeme fasta muda si mrefu tunarudi tulikotoka. Hata ule mradi wa JHHP naona utaachwa tunarudi kwenye bomba letu la gesi la mtwara na mitambo ya akina Rugemarila.
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app