Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,784
- 107,510
>>Mate ya binaadam yanaweza kuwa sumu.
>>Mwanamke ni kiumbe kipole kupita vyote na ni kiumbe kikatili kupita vyote. (Binaadam)
>>Chakula kinachukua sekunde saba kufika tumboni.
>>Unapo fariki enzymes zinazo digest chakula baada ya siku tatu zinaanza kukula.
>>Akili hutumia dk 15 kumalizia shughuli za mwili pindi unapofariki.
>>Inakadiriwa kua kidole gumba cha mgu wa mwanaume ukikizidisha mara 3 ndio unapata urefu kamili wa uume wako.
>>Wanawake wameshamaliza kusoma post hii
>>Mwanaume bado wanalinganisha vidole vyao na uuume.
Hahaaaa najua nimewakamata, kama nimekubamba gonga like.
"Akili sukuma moyo, moyo sukuma damu"
>>Mwanamke ni kiumbe kipole kupita vyote na ni kiumbe kikatili kupita vyote. (Binaadam)
>>Chakula kinachukua sekunde saba kufika tumboni.
>>Unapo fariki enzymes zinazo digest chakula baada ya siku tatu zinaanza kukula.
>>Akili hutumia dk 15 kumalizia shughuli za mwili pindi unapofariki.
>>Inakadiriwa kua kidole gumba cha mgu wa mwanaume ukikizidisha mara 3 ndio unapata urefu kamili wa uume wako.
>>Wanawake wameshamaliza kusoma post hii
>>Mwanaume bado wanalinganisha vidole vyao na uuume.
Hahaaaa najua nimewakamata, kama nimekubamba gonga like.
"Akili sukuma moyo, moyo sukuma damu"