ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,113
- 3,489
Habarini za jumapili,
hii miziki naisikiaga tu kwenye maklabu nikapendezewa na midundo yake. sasa jana usiku nikaingia yutyub na kuandika amapiano nikakonnect blue tuth na hii home theater yangu.
nikaanza kujiachia ile midundo ikanifanya nipate mzuka na kujikuta naongeza sauti zaidi na kutetemesha bati la nyumba. nikiamini baba mwenye nyumba hayupo coz ni mzee wa ruti kumbe alikua asharudi safari usiku ule na yupo dani.
sasa hivi karudi kutoka chachi kasema baadae ana kikao na mimi pamoja na wapangaji wenzangu.
nivyomuuliza mpangaji mwenzangu akanambia nijiandae tu mana notisi inanihusu.
hii miziki naisikiaga tu kwenye maklabu nikapendezewa na midundo yake. sasa jana usiku nikaingia yutyub na kuandika amapiano nikakonnect blue tuth na hii home theater yangu.
nikaanza kujiachia ile midundo ikanifanya nipate mzuka na kujikuta naongeza sauti zaidi na kutetemesha bati la nyumba. nikiamini baba mwenye nyumba hayupo coz ni mzee wa ruti kumbe alikua asharudi safari usiku ule na yupo dani.
sasa hivi karudi kutoka chachi kasema baadae ana kikao na mimi pamoja na wapangaji wenzangu.
nivyomuuliza mpangaji mwenzangu akanambia nijiandae tu mana notisi inanihusu.