Kilio Cha Miti
Member
- Oct 11, 2015
- 14
- 1
Amani ya mama Tanzania iko mikononi ya sisi Watanzania haswa sisi vijana tulio na nguvu za kutosha maana kesho inatuhusu sana.
Natoa rai kwa kila Mtanzania kutimiza wajibu wake wa kulinda amani ya Nchi hii kuanzia viongozi wa vyama vya siasa, Taasisi za Dini, Asasi za Kiraia, Tume ya Uchaguzi lakini pia Wananchi tuchunge sana ndimi zetu haswa wale vijana wote wenye mihemuko kutoka Lumumba na Ufipa.
Natoa rai kwa kila Mtanzania kutimiza wajibu wake wa kulinda amani ya Nchi hii kuanzia viongozi wa vyama vya siasa, Taasisi za Dini, Asasi za Kiraia, Tume ya Uchaguzi lakini pia Wananchi tuchunge sana ndimi zetu haswa wale vijana wote wenye mihemuko kutoka Lumumba na Ufipa.