GE2025 Amani Golugwa: Injinia Hersi ananung’unikiwa na Wanayanga na WanaCCM

GE2025 Amani Golugwa: Injinia Hersi ananung’unikiwa na Wanayanga na WanaCCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
"Injinia Hersi Said ametuthibitishia kwamba ni mfanyakazi wa GSM na wakati huohuo ni Rais wa klabu ya Yanga... a conflict of interest (Mgongano wa kimaslahi). Inapotokea kwamba wewe ni kiongozi wa klabu, halafu wewe pia ni sehemu ya watumishi wa kampuni inayodhamini hiyo klabu. Inapotokea conflict of interest anasimama upande gani? Hili ni tatizo la kwanza ambalo Yanga wenyewe wanatakiwa walione", Golugwa.

Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara Amani Golugwa akizungumza na Jambo TV siku ya Ijumaa juu ya mchango unaodaiwa kutolewa na klabu ya soka ya Yanga kwenda kwa CCM.
 
Akitoka Yanga wana hela za kuendesha hiyo Timu? Na wanaolalamika ni mafukara Wana mdomo tuu nothing else
 
Huyu Msomali anautaka ubunge kwa nguvu mno mpaka wamemshtukia, haiwezekani uombe majimbo mawili tofauti ndani ya kipindi kifupi namna hii.
 
Huyu Msomali anautaka ubunge kwa nguvu mno mpaka wamemshtukia, haiwezekani uombe majimbo mawili tofauti ndani ya kipindi kifupi namna hii.
Na kwa kweli huyu msomali anahangaika sana; mara Kigamboni, mara Kongwa. Mshenzi sana huyu!
 
Back
Top Bottom