Ni ukweli usiopingika wakati wimbo huu unatoka wengi wetu tuliuchukulia poa na kuunanga kwa nguvu zote bila hata kuweka akiba ya maneno.
Amaboko tuloinanga na kuwaona wameishiwa waloiimba leo hii ndo hit song inayosumbua kila kona ya mtaa, yaani hukatizi kona mbili bila kuisikia amaboko, pia watoto nao ndo wimbo wao pendwa kwa sasa wanauimba popote wawapo.
Kupitia uzi huu tuwatakeni radhi akina Rayvany & Diamond coz wametuprove wrong kinyume na matarajio yetu, hakika hawa mabwana wana jicho la music na wanajua kuzitune fursa.
Next time tuweke akiba ya maneno, tusije onekana mashabiki oya oya tusojua kitu about music.
Amaboko tuloinanga na kuwaona wameishiwa waloiimba leo hii ndo hit song inayosumbua kila kona ya mtaa, yaani hukatizi kona mbili bila kuisikia amaboko, pia watoto nao ndo wimbo wao pendwa kwa sasa wanauimba popote wawapo.
Kupitia uzi huu tuwatakeni radhi akina Rayvany & Diamond coz wametuprove wrong kinyume na matarajio yetu, hakika hawa mabwana wana jicho la music na wanajua kuzitune fursa.
Next time tuweke akiba ya maneno, tusije onekana mashabiki oya oya tusojua kitu about music.