mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 802
Mkuu hiyo ni ishara kwamba nidhamu yako ni ndogo sana, unadharau laki 300000? wewe kweli hamnazoHakuna nidhamu kwenye laki 3 mkuu, nidhamu ya hiyo senti ni kula tu. Ukiipa nidhamu senti yako hiyo utakufa na njaa.
Nidhamu inayojadiliwa hapa ni fedha (siyo senti), yaani kipato cha mamilioni kwa mwezi (mil 2, 3, .....).
Mkuu mambo haya tuliyakosa sana JF, watu mna mabusara sana. thanksAiseee pole sana,.nidhamu si kwenye pesa pekee,.MAISHA kwa ujumla yanahitaji nidhamu ya hali ya juu...
NB:hujala bado mpaka SAA hii?!
www.0.freebasic.comila hela ya bundle unapata au sio
hapo sawa mkuu
simu yake ni ya bei gani ya kuuza akala leo akapata na mtaji?Uza simu upate hela ya mtaji na ya kula leo.
Kwahiyo hata kajumba hukubahatika kupata mkuu?Pesa huwa zinatufanya tunajisahau sana.. hasa hela za dili za chap chap! Wewe sio wa kwanza ukija kuzipata tena utarudia ujinga uliokuwa unafanya...
Mi kuna kipindi nilikuwa sikosi mil 3 mpaka 5 kwa mwezi.. nikaona maisha si ndo haya.. nikaanza kuwaza magari na simu za bei kali, saiz nataman hata ningenunua viwanja kila mwezi au ningesimamisha hata kajumba kadogo...
Lakini si mbaya baada ya msoto wa miezi kadhaa saiz nimeanza kurudi kwenye form!!
Sikufanikiwa mkuu [emoji2]dah unanikumbusha machungu..Kwahiyo hata kajumba hukubahatika kupata mkuu?
hakika ni kweliBila nidhamu ya pesa kwenye haya maisha,lazima kuna siku lazima utakuja kujutia.
Hiyo ndo hali niliyonayo saivi
Vijana wenzangu hasa ambao bado hatujawa na source ya kudumu ya kupata kipato,tuheshimu sana hela.
Nakosa hata hela ya kula kweli!,majuto kweli ni mjukuu.
Tunza hata 80kMnapotaja nidhamu ya pesa...tusaidienitusaidienitusaidienitusaidieni wenzenu tunashindwa nikipata laki 300000 monthly nifanyeje
Nadhani nimemkosea Mungu, ndugu zangu na mtoto wangu sana nimejikuta ndani ya miezi 7 nimeonga zaidi ya 10M kweli kama kurongwa kupo sasa baada yakutafakari zaidi demu anapigwa machine na mtu mwingine nimebidi ni shut down kila kitu nijipange upya tena.Bila nidhamu ya pesa kwenye haya maisha,lazima kuna siku lazima utakuja kujutia.
Hiyo ndo hali niliyonayo saivi
Vijana wenzangu hasa ambao bado hatujawa na source ya kudumu ya kupata kipato,tuheshimu sana hela.
Nakosa hata hela ya kula kweli!,majuto kweli ni mjukuu.