Pesa huwa zinatufanya tunajisahau sana.. hasa hela za dili za chap chap! Wewe sio wa kwanza ukija kuzipata tena utarudia ujinga uliokuwa unafanya...
Mi kuna kipindi nilikuwa sikosi mil 3 mpaka 5 kwa mwezi.. nikaona maisha si ndo haya.. nikaanza kuwaza magari na simu za bei kali, saiz nataman hata ningenunua viwanja kila mwezi au ningesimamisha hata kajumba kadogo...
Lakini si mbaya baada ya msoto wa miezi kadhaa saiz nimeanza kurudi kwenye form!!