IzeGREAT
Member
- Jan 15, 2009
- 61
- 21
..napenda kuchukua nafasi hii kuomba msaada wa kimawazo kwa wana-JF popote walipo,ndani na nje ya nchi,..nilinunua gari used-costa(..siwezi kuidiskribe sabu sina utaalam sana wa magari zaidi ya kuweza kujua ipi ni costa,hice,etc..) mwishoni mwa 2010,ilifanya kazi vizuri constantly kwa muda kama wa miezi5hivi,ila afta zat ikawa mara brek mbovu,gear-box imeharibika,mara spring-zimekta,etc..,went on like zat in such a way I cant even say I had any kind of profit from it,rather mor and mor stress!!!!
Last yr in nikaambiwa engine ndo imeharika,kama ikipatikana mpya basi gari itarudi barabarani bila problem,nikajibanabana na kuduliza vijisenti nikanunua engine in October 2011 kwa 4.2M,ila baada kama ya mwezi matatizo ya vi2vingine yakaanza tena,kwa sasa gari inapiga mzigo labda kwa siku2zen wiki iko hom kusubiri hela ya kununulia ki2ambacho kitakuwa kimeharibika kwasabu kwa sasa sina ki2n in short sina ma2maini ya kwamba naweza kusimama na kuanza kuhesabu faida na kutoka kwa staili ya biashara ya usafirishaji ingawa nilipopiga mahesabu ya TzSh 70,000/= kwa siku niliona kuwa ingeweza kuwa ni biashara nzuri ya kuanzia kutafuta maisha,sabu moja ya dreams zangu za maisha ni kuja kujiajiri mwenyewe kwa kuwa na miradi yangu binafsi kwa badaye ntakapomaliza chuo!!!
Kwa sasa niko njia panda (i.e.. kwasababu napenda biashara ingawa sina elimu ya biashara proffesionally and its hard4Me..),
1) Niliuze au niemndelee nalo(i.e kama kuendelea nalo ni kivipi ili kuweza kupata faida)????
2) Sina fedha yoyote ya kuweza kulifanyia service ful kwa ku-repair kila ki2kilichoharibika,JE KUNA UWEZEKANO WA KU2MIA GARI AMBAYO HAIKO NZIMA FUL KAMA HII KUWEKA REHANI NA KUPATA MKOPO IN ANY ASSOCIATION Tz(..naomba infoz za riba plz)??
3) Kuna m2yeyote ambaye alitoka kwa kuanza na gari moja (..if yes,naomba msaada wenu plz..) ???
THANK U OL IN ADVANCE4EVRY SINGLE COMENT AND TROUBLE ZAT U TAKE2HELP PEOPLE LIKE ME2C ZE FUTURE!!!
Ukitaka kunipatia infoz zako ila ungependa iwe personal,my mail is vagalrecurent@hotmail.com !!!
Last yr in nikaambiwa engine ndo imeharika,kama ikipatikana mpya basi gari itarudi barabarani bila problem,nikajibanabana na kuduliza vijisenti nikanunua engine in October 2011 kwa 4.2M,ila baada kama ya mwezi matatizo ya vi2vingine yakaanza tena,kwa sasa gari inapiga mzigo labda kwa siku2zen wiki iko hom kusubiri hela ya kununulia ki2ambacho kitakuwa kimeharibika kwasabu kwa sasa sina ki2n in short sina ma2maini ya kwamba naweza kusimama na kuanza kuhesabu faida na kutoka kwa staili ya biashara ya usafirishaji ingawa nilipopiga mahesabu ya TzSh 70,000/= kwa siku niliona kuwa ingeweza kuwa ni biashara nzuri ya kuanzia kutafuta maisha,sabu moja ya dreams zangu za maisha ni kuja kujiajiri mwenyewe kwa kuwa na miradi yangu binafsi kwa badaye ntakapomaliza chuo!!!
Kwa sasa niko njia panda (i.e.. kwasababu napenda biashara ingawa sina elimu ya biashara proffesionally and its hard4Me..),
1) Niliuze au niemndelee nalo(i.e kama kuendelea nalo ni kivipi ili kuweza kupata faida)????
2) Sina fedha yoyote ya kuweza kulifanyia service ful kwa ku-repair kila ki2kilichoharibika,JE KUNA UWEZEKANO WA KU2MIA GARI AMBAYO HAIKO NZIMA FUL KAMA HII KUWEKA REHANI NA KUPATA MKOPO IN ANY ASSOCIATION Tz(..naomba infoz za riba plz)??
3) Kuna m2yeyote ambaye alitoka kwa kuanza na gari moja (..if yes,naomba msaada wenu plz..) ???
THANK U OL IN ADVANCE4EVRY SINGLE COMENT AND TROUBLE ZAT U TAKE2HELP PEOPLE LIKE ME2C ZE FUTURE!!!
Ukitaka kunipatia infoz zako ila ungependa iwe personal,my mail is vagalrecurent@hotmail.com !!!