Ni kweli CCM IMECHOKA, IMEKOSA MBINU MPYA ZA KUWALETEA WATANZANIA MAENDELEO LAKINI SI KUMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS.
KUNA SABABU NYINGI LAKINI KUBWA ZAIDI IKIWA UADILIFU. Lowassa sio muadilifu japo hata Makufuli sina hakika kama ni msafi 100% ila kwa Lowassa ni dhahiri shahiri.
Ukweli ni kwamba hatujapata mbadala WA kupiku CCM BORA IENDELEE HADI UTAKAPO PATIKANA MBADALA WAKW. ACT WASIPO JICHANFANYA HUENDA WAKAFAA KULIKO VYAMA VINGINE VYOTE VYA UPINZANI.
KARIBUNI KWA MAWAZO YENU WANA JANVI.
KUNA SABABU NYINGI LAKINI KUBWA ZAIDI IKIWA UADILIFU. Lowassa sio muadilifu japo hata Makufuli sina hakika kama ni msafi 100% ila kwa Lowassa ni dhahiri shahiri.
Ukweli ni kwamba hatujapata mbadala WA kupiku CCM BORA IENDELEE HADI UTAKAPO PATIKANA MBADALA WAKW. ACT WASIPO JICHANFANYA HUENDA WAKAFAA KULIKO VYAMA VINGINE VYOTE VYA UPINZANI.
KARIBUNI KWA MAWAZO YENU WANA JANVI.