Malipesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 310
- 32
Ikiwa kutakuwa na taarifa za ki-intelinsia ya kuwepo uwezekano wa sherehe za kilele cha maadhimisho ya sherehe ya Uhuru wa Tanganyika kushambilwa na Alshabab, basi polisi ipige marufuku kufanyika kwa mkusanyiko wowote mkubwa siku hiyo.
Ni maoni binafsi tu.
Ni maoni binafsi tu.