Alshabaab wajilipua ndani ya mgahawa wa chakula kwenye huu mwezi wa ramadhan

Stop it! The Alshbb was not founded, nor is it funded by the US.
The Obama administration was not directly involved in the fight against the Alshbb for the same reasons that it withdrew the US troops from Iraq and Afghanistan.

The claims that these lethal islamic militant groups were created and funded by the US arr very cheeky propaganda attempts by the likes of Russia and Iran to blacken the US and the west's reputation.
ofcourse we are not 100 percent sure but come to think of it, who finances these guys? is it the somali govt? i dont think so...
 
Kupigana ni kawaida kwa wenzetu


Tatizo ni kutokuwa na elimu na kutoona mbali. Hapa wameua wenzao kisa eti wanakula mchana mwezi wa fungo according to them. Jamani hivi kwa nini watu wanakosa akili za kufikiri? Mtu hata kama hujasoma lazima uwe na kitu kinaitwa elimu dunia, a simple common sense ya kujua lipi zuri na baya. Sasa unakwenda kuua watu kisa wana enjoy maisha yao, kijana wa kiislam ana stress za kutokuwa na kazi kwa sababu hajasoma anakwenda kukatisha maisha ya wengine. Hivi kweli Mungu wa kiislam anaruhusu haya? Hizi dini za kuletewa kwa kweli umefika muda wa kuzitosa, hatuzihitaji hapa Afrika.
 
Back
Top Bottom