Alpha Gemz A-level

karare

Member
Joined
Jun 4, 2019
Posts
31
Reaction score
8
naomba kuuliza alfa gemz wamesha anza udahili wa watahiniwa wa kidato cha 5 kwa muhula wa masomo wa 2019/2020?
na je, ada yao kwa mwaka huu ni sh. ngapi???
na je, wana dahili wanafunzi wa comb za EGM?
 
Udahili umeshaanz dogo me mwenyew nimemaliza pale mwaka huu ingia tovuti yak kwa maelezo zaid
 
Walishatoa na majina ya udahili dogo kama wk mbili hivi zilizopita...ila nenda Moro kuna shule nyingi nzuri za advance
 
Unaikosea kabisa hii shule.Inaitwa Alfagems Secondary School ipo Morogoro NaneNane. Ada kwa mwaka ni Milioni moja wakati namaliza kidato cha sita ndo ilikuwa hivyo.Ni shule makini sana pale kupata division One na Two ni jambo la kawaida kama utakuwa makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…