Ni kweli unachosema mkuu ila kwa huyu hapana, Jifunze kuwa sio kila kitu ni chuki hawa wasanii ni kama raia wengine tunaishi nao na tunawaona , Mzee wa farasi enzi zake alikuwa moto wa kuotea mbaliiii.
Banza Stone, Msafiri Diof, Adolf Mbinga, Fergerson Hii timu ilikuwa balaa sana enzi hizo.