Abdallah kimwaga
Member
- Dec 16, 2012
- 49
- 8
Kamanda Bananga akiwahutubu wakazi wa Manyoni asema watanzania wa kawaida ni sawa na Kuku wa kiyenyeji mbele ya CCM. Kuku wa kienyeji thamani yao ni pale afikapo mgeni au anapofurahi mfugaji, na hapo huwa kifo kwa Kuku. Hivyo tuikatee CCM.
Aliendelea kusema Nyerere aliacha mambo mengi lakini viongozi wa sasa yote waneacha kuyaendeleza kwa manufaa yao, kasoro moja tu la Mwenge ambalo halina maana...bravo kamanda
Aliendelea kusema Nyerere aliacha mambo mengi lakini viongozi wa sasa yote waneacha kuyaendeleza kwa manufaa yao, kasoro moja tu la Mwenge ambalo halina maana...bravo kamanda