Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Your browser is not able to display this video.
“Polisi wamekuwa wakitusumbua kwenye kampeni. Wakiona mgombea ambaye hatokani na dola, mara moja anakamatwa. Tulishaomba hata kwenye mikutano kama hii na wao wawepo ili wajifunze kuwa kazi yao si kuwatisha wanasiasa,” ameongeza.