thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 6, 2016 #1 Kuna group whatsaap kwa ajili ya member kutoka college zote za udom, lengo ni kupeana info za hapa na pale za awali...kama utakuwa interested check me whatsaap 0625641036..
Kuna group whatsaap kwa ajili ya member kutoka college zote za udom, lengo ni kupeana info za hapa na pale za awali...kama utakuwa interested check me whatsaap 0625641036..
ommky JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 459 Reaction score 225 Oct 6, 2016 #2 tupe izo nfo humu
thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 6, 2016 Thread starter #3 Popote pale utapata info..ila kwa urais zaidi wasap..maana wakati mwingine net inasumbua mpka jf inagoma kufunguka
Popote pale utapata info..ila kwa urais zaidi wasap..maana wakati mwingine net inasumbua mpka jf inagoma kufunguka
thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 6, 2016 Thread starter #4 Ila kama unachochote just ask nitakujibu mkuu
king de New Member Joined Oct 1, 2016 Posts 2 Reaction score 0 Oct 6, 2016 #5 Joining za udom zimetokaaa?
mansakankanmusa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 4,161 Reaction score 801 Oct 6, 2016 #6 thomas_360 said: Ila kama unachochote just ask nitakujibu mkuu Click to expand... kwenye utawala wa jk Udom ililazimisha walitakiwa walipe wenyewe ada zao badala ya kikataa kisign kulipiwa na helb....hili lipoje
thomas_360 said: Ila kama unachochote just ask nitakujibu mkuu Click to expand... kwenye utawala wa jk Udom ililazimisha walitakiwa walipe wenyewe ada zao badala ya kikataa kisign kulipiwa na helb....hili lipoje
thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 7, 2016 Thread starter #7 mansakankanmusa said: kwenye utawala wa jk Udom ililazimisha walitakiwa walipe wenyewe ada zao badala ya kikataa kisign kulipiwa na helb....hili lipoje Click to expand... Hebu weka hiyo sms yako vizuri then nitakujibu maana hata haieleweki
mansakankanmusa said: kwenye utawala wa jk Udom ililazimisha walitakiwa walipe wenyewe ada zao badala ya kikataa kisign kulipiwa na helb....hili lipoje Click to expand... Hebu weka hiyo sms yako vizuri then nitakujibu maana hata haieleweki
M mwajuma hemedi mwanga Member Joined Jul 30, 2016 Posts 39 Reaction score 6 Oct 7, 2016 #8 Second batch udom imetoka
F Felix kessy New Member Joined Sep 21, 2016 Posts 1 Reaction score 0 Oct 7, 2016 #9 Jaman Mbona hawatoi second bach hawa UDOM??
D dullavirux Member Joined Sep 11, 2016 Posts 38 Reaction score 8 Oct 13, 2016 #10 https://chat.whatsapp.com/E9liAfoaYbBE02sXQVAb7i
B bennieandrew Member Joined Oct 14, 2016 Posts 5 Reaction score 0 Oct 14, 2016 #11 udom watsup grup niungeni bhasi 0712646560
SODOKA JF-Expert Member Joined Sep 15, 2012 Posts 1,656 Reaction score 724 Oct 14, 2016 #12 .....hizi post zenu za chuo tumezichoka
K Kanjibahi New Member Joined Oct 13, 2016 Posts 3 Reaction score 0 Oct 14, 2016 #13 SODOKA said: .....hizi post zenu za chuo tumezichoka Click to expand... Jamani mbona sioni waliochaguliwa Bsc.nursing batch 2?
SODOKA said: .....hizi post zenu za chuo tumezichoka Click to expand... Jamani mbona sioni waliochaguliwa Bsc.nursing batch 2?
ITEGAMATWI JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 5,362 Reaction score 4,125 Oct 14, 2016 #14 Kanjibahi said: Jamani mbona sioni waliochaguliwa Bsc.nursing batch 2? Click to expand... Angalia vizuri hiyo attachment nyingine kwenye link ya second batch katika website ya udom. www.udom.ac.tz
Kanjibahi said: Jamani mbona sioni waliochaguliwa Bsc.nursing batch 2? Click to expand... Angalia vizuri hiyo attachment nyingine kwenye link ya second batch katika website ya udom. www.udom.ac.tz