Hiyo ni dyspareunia-yaani mtu unapata maumivu kabla/baada au hata wakati mnasex.
Reason zipo nyingi pengine jamaa ana tango kubwaa, au hakuandai vzr(leads to lack of lubrications),Pingine pia psychologically hauko vizuri.
Cha msingi muone daktari(ikiwezekana wa magojwa ya wanawak) atakutibu kulingana na cause.
Usihofu utapona ni tatizo la kawaida.