Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,066
- 12,651
Una matatizo ya afya ya akili unapoelekea ukipata mawaidha mazuri kujilipua kwako ni dk 0 tu wahi tiba kabla hujachelewa.Cheka vizuri tu, umauti ukikufika ndio utacheka vizuri zaidi 😁
Una matatizo ya afya ya akili unapoelekea ukipata mawaidha mazuri kujilipua kwako ni dk 0 tu wahi tiba kabla hujachelewa.Cheka vizuri tu, umauti ukikufika ndio utacheka vizuri zaidi 😁
Message sent, so kaa utafakari mara 2 2.Una matatizo ya afya ya akili unapoelekea ukipata mawaidha mazuri kujilipua kwako ni dk 0 tu wahi tiba kabla hujachelewa.
Hizo mada zote zinaweza kujadiliwa humu ndani pasi na kuanzisha uzi mpya.Ukitaka fact tutaenda kwa fact, ukitaka vihoja tutaenda ivyo
Ukitaka propaganda pia
Kwahiyo unakataa kuwa mataifa ya kiarabu hayakuungana kutaka kuingamiza israel?
Anzisha uzi wa ushirikiano wa Jews na britain ulivyoanzia nitakuja nikupe maarfa
Msaada unaangalikana na hali ilivyo.Embu niambie unaposema msaada unautizama kwa mtazamo gani?
Au ulitaka wasaidiwe visiraha vya kichina na vibilioni kadhaa.
Russia haijai kuwa na uhusiano mkubwa na Israel embu acha uongo we kijanaa!Uhisiano wa israeli na urusi na mataifa niliyoyataja hapo juu ni ya that kabisa
Ukilinganisha uhisiano wa urusi na either iran and the likes
Ni mgogoro wa USA na Russia tu ndio unaifanya urusi kutokua active kisiasa na israeli
Russia haijai kuwa na uhusiano mkubwa na Israel embu acha uongo we kijanaa!
Au unaizungumzia Ukraine??
Ukraine kuna raia wengi wa asili ya kiisrael pia Ukraine ana uhusiano mkubwa na Israel ila sio Russia acha uongo.
Kwani wale waafrika wenzako wanaokufa Congo, Sudan, Nigeria nk sio ndugu zako. Bure kabisa wewe pagazi wa mwarabu.Israel na marekani +Westerns sijui waliwaliwafanya nini hawa watu, yani huwaambii kitu kwao, mauwaji na mateso wanayopitia ndugu zetu waislamu ni furaha na gelegele kwao.
Go straight to the point! Al Jazeera is terrorist propaganda machine! That's very clear; unazunguka mbuyu kwa mambo ambayo yako wazi why?Aljazeera wako biased kwenye habari zinahusu waarabu against non-arabs
BBC na Reuters wanamadhaifu yao lkn hawako biased km aljazeera
Sasa Kina Osama,sadam na gadaf ulitegemea watoe ushirikiano wapi zaidi ya aljazeera
Hiko chombo unachokiita cha propaganda za kigaidi kuna Wamarekani ndio waratibu wa vipindi vikuu vya Aljazeera English kina Kimberley Halkett.Go straight to the point! Al Jazeera is terrorist propaganda machine! That's very clear; unazunguka mbuyu kwa mambo ambayo yako wazi why?
Hawajielewi hawa.Israel na marekani +Westerns sijui waliwaliwafanya nini hawa watu, yani huwaambii kitu kwao, mauwaji na mateso wanayopitia ndugu zetu waislamu ni furaha na gelegele kwao.
yaan nchi za kiarabu zenyewe hazija ia isolate sasa sijui iko isolated na familia yako😂😂😂Elimika kwanza kabla hujabwatuka. Israeli sasa ni nchi ilio kua isolated duniani.
Hata kawadi wake Marekani kaanza kuona njia ya kumkwepa. Shukran kwa Al Jazeera.
Wewe kaa ulishwe propaganda na hivyo vyombo vya mabeberu wabaguzi wakoloni
Ushenzi wa Israeli ni upi huo?! Kupambana na ugaidi ama?Haihitajiki Al Jazeera kuelezewa ushenzi wa Israel labda uwe mwendawazimu unayejifanya hauelewi kinacho endelea Palestine chini ya ukoloni wa Israel.
Mtu anasema eti dunia iko upande wa Israel akati Spain tu katoka kuhimiza bunge lipige kura za kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel.
Wewe umeshazoeleka muongea kwa hisia kuliko uhalisia.Aljazeera ni Magaidi from Mother of Terrorisms Qatar
Wala haijachakachuliwa mkuu iko vile vile.Hapo kwenye "my take" inaonyesha hata wewe ni miongoni mwa wapiga spana Aljazeera English hata kama ulikuwa mpenzi msomaji wa comments ila umeandika kitaalam sana kama unashangaa inavyopigwa spana.
Anyway, Aljazeera kipindi cha Osama ilikuwa moto sana kwenye habari za nchi za mashabiriki ya kati ambazo zilikuwa hazipatikani kwenye vyombo vya magharibi kabla haijachakachuliwa
We jamaa huwa unafurahisha ukiongea kama unajua kumbe hakuna kitu.yaan nchi za kiarabu zenyewe hazija ia isolate sasa sijui iko isolated na familia yako😂😂😂
Hizi habar za kusikilizaga msikini ni shida kweli
Wewe unafikiri station wamiliki wake wako chini ya influence ya Allah the Satan patakosa propaganda za uongo hapo??!!Aljazeera inajulikana kuwa ni Pro palestine inatunga uongo sana kusingizia israeli
Lakini wanakutana na spana sana kwenye platforms za social media zao
Aljazeera anajaribu kuionesha dunia kuwa israeli ni makatili ila wananzengo wanampiga spana za kutosha kuwa magaidi wa hamas ndio chanzo
Waarabu hadi wameikimbia aljazeera English wameenda kucoment alkbar kwenye aljazeera arab
Wamebaki hindu, westernized black na few mandeira wanawapiga spana aljazeera
My take: Aljazeera iache kutunga habari za uongo ijikite kwenye fact itaheshimika duniani
Otherwise BBC, Reuters ndio wataendelea ku kukimbiza duniani.