MARHUM julius k nyerere aliwahi kunena ''HAKUNA VYAMA VYA UPINZANI VYENYE UWEZO WA KUING'OA CCM MADARAKANI. UPINZANI WA KWELI UTATOKA NDANI YA CCM, WENYEWE KWA WENYEWE WATATOFAUTIANA NA WATATOKA NDANI YA CCM NA KUANZISHA CHAMA CHAO.
hapakuwa na mgawanyiko ccm, hao walitoka mmoja mmojaAliposema haya, mrema, maalim seif, mapalala, mtei, mtikila, marando, cheyo, makani bob nk, walikuwa wametokea chama gani vile?
hapakuwa na mgawanyiko ccm, hao walitoka mmoja mmoja
aliposema haya, mrema, maalim seif, mapalala, mtei, mtikila, marando, cheyo, makani bob nk, walikuwa wametokea chama gani vile?