Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimolo ahamia CHADEMA

Kila mwenye kuona mbali lazima ahame sisiem na kujiunga na chama makini CHADEMA !
 
Hii ni cheap popularity at work. Kitu lilifukuzwa kazi kutokana na uzembe Leo mnaliita kamanda, poor you machadema

Acha kupotosha umma wewe kima,,,, huyu alijiudhuru kwa hiari yake mwenyewe aliona hakuna haja ya kukaa kwenye chama cha wahuni na wabakaji.
 
ya akaribie ila ajue cdm hatulali mpaka kieleweke,maana kasi tuliyonayo kwa sasa hata zzk tushamwscha.
 
karibu kwenye jeshi la ukobozi mr kimolo
 
Karibu kamanda,kwenye njia ya mabiliko

there is no easy walk to freedom room

vumilia kila hujuma za ccm
 
Acha kupotosha umma wewe kima,,,, huyu alijiudhuru kwa hiari yake mwenyewe aliona hakuna haja ya kukaa kwenye chama cha wahuni na wabakaji.

Kweli kabisa CCM imejaa wabakaji, mafisadi, wangoa kucha na meno, wauwaji, wauza madawa ya kulevya...
 
Acha kupotosha umma wewe kima '',,,huyu wala hakutemwa bali alijiudhuru kwa hiyari yake mwenyewe baada ya kuona hakuna haja ya kubaki kwenye chama cha wabakaji na kuwatumikia wauza unga na majangili wa tembo.
hata aibu huoni hivi unafikiri BABU asingetemwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea ubunge ndani ya CCM angehama?? thank big kijana usifikiri unaongea na watu wepesi hapa tuna full info za nchi hii huyo aliondoka baada ya kuona hayumo kwenye orodha mpya leo CHADEMA mnamuona mfalme wenu lol
 
Namfahamu vizuri huyu mzee toka akiwa DC wa wilaya ya Namtumbo nimekuwa naye kwenye vikao akiwa kaimu mkuu wa mkoa wa ruvuma mzee yupo vizuri sana........kichwa kingine hiki......karibu sana
 


soma kichwa cha habari kwanza.

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimolo ahamia CHADEMA
 

huyu ni mamluki tu kama mamluki wengine kumbe ni mfuasi wa Lowasa halafu anazuga kuhamia chadema.!!
 
hii nayo kali, alikuwa bado anafanya kazi kama mkuu wa wilaya?

Kulikuwa na tetesi kwmba ilikuwa aachie ukuu wa wilaya siku hiyo hiyo ajiunge na cdm wakamshauri ninyi ccm mtamdhuru ndio maana alijiudhuru akasubiri mwaka amejiunga rasmi leo...na kama unadhani ni mchumia tumbo umekwama maana aliacha kibarua yeye mwenyewe
 
Mtei naskia ana laana ya nyerere

Kwa mujibu wa mabango ya kigoma ya jana yanayopinga ziara ya slaa

hi hater,naona nimekupa makavu mpaka mpaka umepunguza udini humu jf,umebaki nao moyoni,bado ukabila..slaa ni mkombozi hadi huko mtwara,nyinyi wanaccm subirini kuwa wapinzani tu.
 
mpaka kuandika umeshindwa sizitaki mbichi hizi angetemwa ukuu wa wilaya?? amekuja kukidhi njaa tu huyo

Mkuu njaa kwani kapewa ceo gani? Sisi CDM tunajitolea mafanikio yako mbele na uyu ukuu wa mkoa unamgonja mwaka 2016.
 

Ndo maana CCM mnashindwa kuwachukulia hatua mafisadi na wafuja pesa za umma eeh!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…