1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Sio leo wala jana kila Yanga wanapocheza na mtani wake wanapita mlango usio rasmi, na wanajua adhabu yake, ina maana kuwa kuna watu uwanja wa mkapa wana mawasiliano na uongozi wa yanga kuhusu mageti ya kutumia pale uwanjani, yanga walishaongea na watu pale uwanjani kuwa watapitia geti fulani hvo siku ya mechi mwenye ufunguo akae standby, ni jambo la siri linalofanyika.
Huu mchezo imeshakuwa tabia, najiuliza nani aliwapa funguo au nani aliwaruhusu wapitie mlango mwingine? Aliyewaruhusu amechukuliwa hatua gani, mnaponyamazia mambo haya kwann tusiamini kuwa nyie sio waadilifu? Huyo aliyewapitisha mlango usio rasmi amefanywa nn? TFF mmechukua hatua kumjulisha meneja wa uwanja kuhusu matukio hayo?
Pili, picha zinaonyesha matukio ya Jesus Moloko akifukia ndumba kwenye kona na mwenzake anamwagia maji, kamati inasema hakuna ushahidi wowote kuhusu ushirikina? Kweli jamani, kweli jamani, jamani ni kweli lakini, ujinga mtupu.
Huu mchezo imeshakuwa tabia, najiuliza nani aliwapa funguo au nani aliwaruhusu wapitie mlango mwingine? Aliyewaruhusu amechukuliwa hatua gani, mnaponyamazia mambo haya kwann tusiamini kuwa nyie sio waadilifu? Huyo aliyewapitisha mlango usio rasmi amefanywa nn? TFF mmechukua hatua kumjulisha meneja wa uwanja kuhusu matukio hayo?
Pili, picha zinaonyesha matukio ya Jesus Moloko akifukia ndumba kwenye kona na mwenzake anamwagia maji, kamati inasema hakuna ushahidi wowote kuhusu ushirikina? Kweli jamani, kweli jamani, jamani ni kweli lakini, ujinga mtupu.