Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa

dar to moro

Member
Apr 27, 2018
23
21
Mambo zenu?
Mimi ninahitaji kutulia sana.
nasema kutulizwa sio kuumizwa kama unajijua wewe ni unajua kujali Naumetulia
unahitaji kupendwa nakuishi na mtu mwaminifu bila stress basi huu uzi unakuhusu but kama hujatulia usije .
mimi napendelea mwanaume awe handsome hata akivaa nguo anapendeza.
hapa ni single tu nawatafuta.
awe mrefu wa wastani sio mfupi awe muelewa.
msomi kuanzia degree nakuendelea ajipendee kabisaa sio awe mchafu mchafu.
apende maendeleo walevi siwataki,malaya no,wambeya hapana.
bongo movie wale yaani wao nikuact maisha no.
nahitaji uwe mkweli.
uwe unawaza vitu vyakujenga sio kulalana tu.
miaka 33-36.
KAMA UPO SERIOUS NJOO UNIPM KAMA HAUPO SERIOUS USIJEE.
 
ni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.
 
Mambo zenu?
Mimi ninahitaji kutulia sana.
nasema kutulizwa sio kuumizwa kama unajijua wewe ni unajua kujali Naumetulia
unahitaji kupendwa nakuishi na mtu mwaminifu bila stress basi huu uzi unakuhusu but kama hujatulia usije .
mimi napendelea mwanaume awe handsome hata akivaa nguo anapendeza.
hapa ni single tu nawatafuta.
awe mrefu wa wastani sio mfupi awe muelewa.
msomi kuanzia degree nakuendelea ajipendee kabisaa sio awe mchafu mchafu.
apende maendeleo walevi siwataki,malaya no,wambeya hapana.
bongo movie wale yaani wao nikuact maisha no.
nahitaji uwe mkweli.
uwe unawaza vitu vyakujenga sio kulalana tu.
miaka 33-36.
KAMA UPO SERIOUS NJOO UNIPM KAMA HAUPO SERIOUS USIJEE.

HAMUELEWEKI, KAZI KULETA SHARI KWENYE MAISHA YETU, ISHI MWENYEWE!
 
ni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.
Mimi siko SEROUS Niko SERENGETI vip tunaweza kuendana?.
 
Back
Top Bottom