GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, John Nchimbi, achukua fomu kuwania Ubunge wa Jimbo la Nyasa

GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, John Nchimbi, achukua fomu kuwania Ubunge wa Jimbo la Nyasa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, John John Nchimbi, amechukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Nyasa.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Katika Bunge la 12, Jimbo la Nyasa lilikuwa linawakilishwa na Mhandisi Stella Manyanya.

Screenshot 2025-06-28 223124.png
 
Ndio hapo wananchi waendelee kuelewa kwamba reforms zinatakiwa kwenye tatatibu za uchaguzi , sasa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya/manispaa au jiji anachukua fomu kugombea Ubunge.
Kwa hiyo huyu Mkurugenzi ni mwanachama wa CCM na ndiye alitakiwa kuwa msimamizi wa uchaguzi.
Wakurugenzi wote wa halmashauri hapa Tanzania ni wananchama wa ccm halafu eti ndio wasimamizi wa uchaguzi .
Hili suala halikubaliki kabisa kwenye mfumo wa uchaguzi wa haki .
Kuna conflict of interest iliyo ya wazi kabisa hapa
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, John John Nchimbi,leo Juni 28,2025 amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Nyasa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu ujao, Ndugu John amechukua fomu hiyo kwenye Ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma
1751181489048.png
 
Ndio hapo wananchi waendelee kuelewa kwamba reforms zinatakiwa kwenye tatatibu za uchaguzi , sasa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya/manispaa au jiji anachukua fomu kugombea Ubunge.
Kwa hiyo huyu Mkurugenzi ni mwanachama wa CCM na ndiye alitakiwa kuwa msimamizi wa uchaguzi.
Wakurugenzi wote wa halmashauri hapa Tanzania ni wananchama wa ccm halafu eti ndio wasimamizi wa uchaguzi .
Hili suala halikubaliki kabisa kwenye mfumo wa uchaguzi wa haki .
Kuna conflict of interest iliyo ya wazi kabisa hapa
NRNE

ova
 
Back
Top Bottom