Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Sikonge Said Nkumba na mamia ya wanachama wa CHADEMA, warejea CCM

ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA SIKONGE (CCM) SAID NKUMBA NA WANACHAMA WA CHADEMA WAREJESHA KADI ZA CHADEMA KWA MAGUFULI
28.jpg

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Sikonge kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
29.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Sikonge Bw. Goerge Joseph Kakunda.
30.jpg
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Sikonge, Ndugu Said Nkumba akionyesha kadi yake ya uanachama wa Chadema ambayo aliikabidhi kwa Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli na kuahidi kushirikiana na wana CCM katika kuhakikisha ushindi ni wa kishindo.
1.jpg
Said Nkumba (kulia ) akimnadi mgombea wa ubunge wa jimbo la Sikonge Bw George Joseph Kakunda.
19.jpg
Wakazi wa Sikonge wakishangilia baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Said Nkumba kurejea CCM.
23.jpg
Wazee wa Sikonge wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
31.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ulyankulu kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
32.jpg
Umati wa wakazi wa Ulyankulu wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli ambapo aliwaahidi kushughulikia tatizo la wakulima wa tumbaku.
33.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea ubunge wa jimbo la Ulyankulu Bw. John Peter Kadutu kitabu cha ilani ya uchaguzi ya CCM cha mwaka 2015-2020.
34.jpg
Mgombea ubunge wa jimbo la Ulyankulu Bw. John Peter Kadutu akionyesha juu kitabu cha ilani ya uchaguzi ya CCM cha mwaka 2015-2020 mara baada ya kukabidhiwa na mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
35.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwaaga wakazi wa Ulyankulu mara baada ya kumaliza kuwahutubia.
5.jpg
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Taifa Alhaji Abdallah Bulembo akiwahutubia wakazi wa Kaliua kwenye mkutano wa kampeni za CCM na kuwaambia wananchi hao kuipigia kura CCM kwani wapinzani wamepoteza ajenda.
7.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Kaliua Profesa Juma Kapuya.
8.jpg
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kaliua Profes Juma Kapuya akihutubia wakazi wa kaliua kwenye mkutano wa kampeni za CCM.

10.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kaliua kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
11.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Kaliua ambapo aliwaahidi kujenga na kuboresha bara bara, elimu, afya pamoja na kutatua tatizo la maji na bei za Tumbaku.
12.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akipokelewa na Mzee samuel Sitta mara baada ya kuwasili Urambo kwenye mkutano wa kampeni.
13.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiongozana na Mgombea Ubunge Jimbo la Urambo Mama Magareth Sitta pamoja na mumewe Mzee Samuel Sitta.
14.jpg
Shabiki na mpenzi wa CCM akishangilia ujio wa Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.

16.jpg
Mwakilishi wa Walemavu Ndugu Amon Anastaz Mpanju akihutubia wakazi wa Urambo kwenye mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli
17.jpg
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Urambo kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ataijenga Tanzania mpya yenye maendeleo.

wako wapi waliorudisha sasa? au unajifurahisha maana wanaonekana tu wenye elimu ya la saba wakishangaa rangi ya kijani
 
Back
Top Bottom