Aliyeiona payroll ya August aweke hapa

Duh kweli ualimu ni kazi ya hovyo Yani trh 11 ushaanza kuuliza payroll inamaana salary ishakata khaaa kazi Gani hiyo Sasa unazidiwa Hadi na fundi ujenzi
 
Subiri nimtag Mpwayungu Village
 

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni kweli Mpwayungu Village anazingua kwa post zisizo na kichwa wala miguu

Ila pia walimu tunazingua sana, hasa walimu wa vijijini na machawa wa CCM


Sasa mfano mtoa Uzi, umeanza vizuri ila umemalizia na uharo kisa wewe ni chawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…