Aliyehukumiwa kunyongwa

Aliyehukumiwa kunyongwa

Haki jinai: Polisi hawaruhusiwi kumlazimisha mtuhumiwa kusema chochote , kama alifikia hatua hiyo ya kupoteza ushahidi inawezekana vipi akakubali kusema kwa hiyari yake?

Kama alilazimishwa kusema je sheria haijavunjwa? Au kwenye hilo tumeruhusu sheria ivunjwe?
Mwehu!
 
Tanzania na ukatili

Baada ya ukatili wa mayahudi, inafuatia ukatili wa Tanzania

Anyongwe kabisa huyo
 
Pamoja na kufanya yote hayo intelligencia ikamnasa..kuna lakujifunza kupitia mkasa huu.
Ilibaki sehemu ndogo sana kutoboa,kwasababu ilikuwa inakwenda mwezi na police hawakung'amua chochote.

Inavyosemakana jamaa aliwasha simu ya marehemu ndio wamba kuona inasoma palepale,hivyo jamaa alipewa kipindi cha kila jumatano ndio wakanong'onezana leo akija kudhulu (roaming)mbakisheni
 
Back
Top Bottom