Aliyegombea ubunge Gairo aenda CHADEMA

Aliyegombea ubunge Gairo aenda CHADEMA

Radhia Sweety

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
4,433
Reaction score
1,772
Alishindwa katika kura za maoni. Mtakumbuka kwa kipindi kirefu jimbo hili limeongozwa na Shabiby. Mgombea huyu analalamikia rushwa katika utaratibu wa kumpitisha Shabiby.
 
Mbona haueleweki mkuu? Yupi sasa aliehamia Chadema? Shabiby au?
 
Ebu jipange kidogo habari yako imejaa ukakasi.
 
Upo kwenye maandamao nini na wewe? tulia andika vizuri ueleweke.
 
Malizia Kwanza Maandamano Alafu Ndio Uje Utujuze Kamanda
 
Back
Top Bottom