Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,142
- 12,188
Mkuu upo sahihi.Nafikiri hii inaonyesha kwa nini ni muhimu kuwa na kitengo maalumu kuchunguza matendo tata ya Polisi. Kuwaacha polisi kujichunguza hakutoi haki.
Kwa statements kama hizo tena toka kwa msemaji wa polisi, tutegemee haki ingelitendeka kweli katika ufuatiliaji wao bila ya shinikizo toka Ikulu?
Ingekuwa busara na nidhamu kama wangelinyamaza kabisa kimya.
Hii inaonesha utovu wa nidhamu kiasi gani wanaufanya kwa commander in chief wao.
Yaani issue moja, mkuu anasema na wao wanasema!
Mada ni kubambikia mtu kesi, wamebambika hawajabambika?
Hayo mengine ni porojo tu, kama members wanavyosema ni 'kutaka kutakatisha kosa'.
Sent using Jamii Forums mobile app