Aliye bikiri ndie alipe zaidi

Aliye bikiri ndie alipe zaidi

uku

Member
Joined
Jul 6, 2016
Posts
32
Reaction score
15
Jamani mm kwa maono yangu aliyebikiri ndie anaepaswa kulipa zaidi,kwa sababu muhusika anajulikana,na aliyeowa mwanamke ambaye si bikra,basi itakuwa kamstiri tu.
 
ndio maana tunaostiri tunatozwa mahari makubwa mno,wakati aliyebikiri hafikii hata robo ya mahari.
 
Sijawahi kubikiri aisee,hebu nipeni maujuzi ya kumjua msichana mwenyenayo!..
 
Back
Top Bottom