Alipo "Abubakari Salumu (Sure boy)" ndipo mpira ulipo

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,288
12,783
1684875065075.png

Picha: Abubakari Salumu (Sure boy)

Naam, kiungo bamia kiungo lainishi fundi huyu kutokana na kupenda kula urojo kule zenji kwa mzee kaju, basi wachezaji wenzake wakambatiza jina la "babu kaju"

Kutokana na Khalid Aucho kupata kadi mbili za njano basi ataukosa mchezo wa fainali Yanga dhidi ya Usm Alger utakaopigwa pale kwa mkapa.

Sure boy kiungo bamia mwamba kabisa huyu, naposikia jina lake napata kumbukumbu ya mechi ya Club Africane vs Yanga iliyopigwa pale Tunis na Yanga kuondoka na ushindi wa goli moja.

Mwamba sure boy alilitendea haki dimba la Kati alipiga mpira mwingi mno yaani "ulipo mpira sure boy yupo"
Aliwafanya viungo/waarabu wa Kati wa club African kutepeta maana mwamba alipiga mpira mwingi mpaka ukamwagika.

Nategemea makubwa kutoka kwakwe endapo atapata nafasi ya kuanza kwenye fainali ya tar 28/05/ kwa mkapa.

"Why not us" Yanga ni mwendo wa makombe.
 
View attachment 2632836
Picha: Abubakari Salumu (Sure boy)

Naam, kiungo bamia kiungo lainishi fundi huyu kutokana na kupenda kula urojo kule zenji kwa mzee kaju, basi wachezaji wenzake wakambatiza jina la "babu kaju"

Kutokana na Khalid Aucho kupata kadi mbili za njano basi ataukosa mchezo wa fainali Yanga dhidi ya Usm Alger utakaopigwa pale kwa mkapa.

Sure boy kiungo bamia mwamba kabisa huyu, naposikia jina lake napata kumbukumbu ya mechi ya Club Africane vs Yanga iliyopigwa pale Tunis na Yanga kuondoka na ushindi wa goli moja.

Mwamba sure boy alilitendea haki dimba la Kati alipiga mpira mwingi mno yaani "ulipo mpira sure boy yupo"
Aliwafanya viungo/waarabu wa Kati wa club African kutepeta maana mwamba alipiga mpira mwingi mpaka ukamwagika.

Nategemea makubwa kutoka kwakwe endapo atapata nafasi ya kuanza kwenye fainali ya tar 28/05/ kwa mkapa.

"Why not us" Yanga ni mwendo wa makombe.
Pigia mstari.
 
Back
Top Bottom