Kwanza mi nilijua wewe ni dada niliposoma heading, lakini kumbe dume, teheee!! Una mimba jamaaSasa sikia we bwana mdogo, yaani hata kama mimi ndio mzazi lazima aoelewe na huyo aliyepatikana eother anampenda au hampendi, mapendeko yatakuja jinsi watakavyo ishi pamoja na kuzoeana. Wewe hata chuo hujaanza, maisha huyajui, akae akusubiri wewe hadi umalize chuo, upate kazi ndio ufikirie kumuoa,. hapo hatujafikiria kuwa unaweza kumtosa baada ya kupata msomi mwenzio. Kwani huko chuo hawapo wengine? Mi huwa nashangaa sana mtu anajidai anajua kupenda nusu ya kufa, mapenzi hayo hakuna na wala tusidanganyane kwa kweli