marko maluli
Senior Member
- Mar 14, 2015
- 164
- 49
nilikuwa ktk mahusiano na msichana wa kidato cha kwanza .
..hapo mim nilikuwa kidati cha pili ktk shule hihyo but alinipenda....
sana na mahusiano yetu yalijulikana shule nzima lkn nimewahi kumfanyia...
mamb meng ambayi co mazur lkn alivumilia
nilipo fika kidato cha nne ilitokea zali moja kubwa sana
nilimpa ujauzito na akaachiahwa shule huk mim nlikuwa bado naendelea na masono
...ilipo fika wakat wa kujifungua bint huyo mim ndo nlikuwa naingia
kwenye chumba cha mtihani bt alijifungua salama lkn kwa bahat mby mtoto ulimkuta umauti
nlifanikiwa kuoass mtihan wangy na kujiunga chuo huku yey bado nawasiliana nae
lkn kmb alikuwa na jamaa mwingne ..baada ya mim kurud chuo nliona
mabadiliko na alikuwa anaujauzto tumboni....alizaa tena mtoto akafa(mwanaume mwingne)
niliamua kumuambia ukweli kwamba aendelee na jamaa yake kwani cpend ugomvi kt yangu na huyo
mwanaume
cha kushangaz hv juz kanitafuta na namba ngeni na kuniambia mim ni mpenz wake
na anadai aendelee kuniira molpenz wake lkn mim nilikataaa
NAOMBEN USHAULI NIFANYAJE?
Sahihisha kwanza ulicho andika, andika yako ni Shida...vinginevyo utatuchefuwa
Yaliyo elezwa ndo hayo nahtaji msaadaa wenu nifanyeje mim
kunywa sumu ufe. ili ashindwe kukuita mpenzi.
Mtafute Diamond Platnum barafu ya moyo ya warembo...!
ameshindwa kutatua yake na wema ataweza yanguuuuu........never
Basi nenda kwa Lady Jaydee?...
ananisumbuaa san ndo maana nimeomb ushauri
bt that iz typing error....diploma ndonilienda kusoma
kwan kidato cha nne nlipiga poa nikaamua nicpite kidati cha
tano na sita
najua huwez amin na huto amin kama mim nimepiga diploma ya udaktariKwanza inaonekana nyie ni wale mnaosumbua wazazi. Husomi umekalia mapenzi shuleni mwish wa siku unafeli shule hovyohovyo.
Hakuna chuo cha kumaliza form four isipokuwa vile vya utalii na hotel managementi maana waliofeli kama wewe ndo wanaenda huko.
Ulichokiandika kinasadifu akili zako. Kazana kusoma achana na mapenzi hiyo certificate unatakiwa upate GPA nzur ili uweze kuendelea diploma la sivyo utaishia kuwa sharobaro kama ulivyo saiv.
hawez nishawish wal nishaur kwa lolote yuleee
Poa dogo..akiendelea kukusumbua mwambie utanshirikisha bwanake huyo mwingine ili ajue jinsi ya kumhandle demu wake...wewe achana nae asikushawishi kivyovyote
Nenda kwa H Baba wa Flora Mvungi
nimekupata mkubwa thankz
be my guest