Alinikataa Sasa kazalishwa ananikumbuka.

Alinikataa Sasa kazalishwa ananikumbuka.

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,963
Bwana we

Leo nimekumbukwa na demu wa kitaaambo ambaye alinikataaga na kuolewa na mwanaume mwengine.

Eti amenimis, ananikumbuka, amenimis, ha ha haaaa baada ya maisha kuwa magumu.

Je nimfanyeje FISI Kama huyu ambaye anataka kurudiana nami baada ya kupigika???
 
Bwana we

Leo nimekumbukwa na demu wa kitaaambo ambaye alinikataaga na kuolewa na mwanaume mwengine.

Eti amenimis, ananikumbuka, amenimis, ha ha haaaa baada ya maisha kuwa magumu.

Je nimfanyeje FISI Kama huyu ambaye anataka kurudiana nami baada ya kupigika???
Stori yako inafanana sana na yangu kidogo ila huyu wangu hakuwa fisi. huyu dada alinipenda nami nilimpenda ila yeye alikuwa na presha ya 'kuanza' maisha. Alilazimisha tuzae na kuanza laifu mapema nilipomwambia asubiri kidogo, mawasiliano yalianza fifia na tukapoteana kidogo. Ghafla nakuta friend request facebook baada ya kama miaka 2.5. Kucheki ni yeye kaweka picha ya katoto kachanga. Niliumia sana ila nikapiga moyo konde. Sasa hivi kwa kweli anasumbuana sana na mzazi mwenzake. Nimekuwa mfariji wake na akikumbuka siku za zamani analia sana.
Bado nampenda sana, ktk wanawake nimeshindwa wadelete kwenye harddrive kichwani mwangu ni huyu. Ilifika wakati nikiona mwanamke anayefanana nae naanza kuvutika nae.
Ila maisha lazima yasonge. Maisha ni kuchagua.
 
Atakama wazazi wao wanna uwezo tuwapende wanetu jamani!!!!!!
FB_IMG_1541189477496.jpeg
 
Stori yako inafanana sana na yangu kidogo ila huyu wangu hakuwa fisi. huyu dada alinipenda nami nilimpenda ila yeye alikuwa na presha ya 'kuanza' maisha. Alilazimisha tuzae na kuanza laifu mapema nilipomwambia asubiri kidogo, mawasiliano yalianza fifia na tukapoteana kidogo. Ghafla nakuta friend request facebook baada ya kama miaka 2.5. Kucheki ni yeye kaweka picha ya katoto kachanga. Niliumia sana ila nikapiga moyo konde. Sasa hivi kwa kweli anasumbuana sana na mzazi mwenzake. Nimekuwa mfariji wake na akikumbuka siku za zamani analia sana.
Bado nampenda sana, ktk wanawake nimeshindwa wadelete kwenye harddrive kichwani mwangu ni huyu. Ilifika wakati nikiona mwanamke anayefanana nae naanza kuvutika nae.
Ila maisha lazima yasonge. Maisha ni kuchagua.
Asee mbona Kama nakufahamu kiongozi??? Au nimefananisha?
 
Usimseme dadangu mpendwa Ni fisi pengine hakujua hayo na pia amelinganisha maumivu akaona heri yako ten so kikubwa mfariji ikiwezekan mpokeee kwa mikono miwili mfute machozi ya maumivu sisi wote wanadamu hakuna ajuae kesho yake na kwenye mapenzi Siri ipo moyoni mwa mtu
 
Acha kujipendekeza kwa huyo dada,ulishindwa kumoa coz huna vigezo na wenye vigezo wameoa.

Mimi mwenyewe nilitaka kuoa dada mmoja bahati mbaya kachukuliwa na jamaa mwingine ila mpaka Sasa si ni marafiki Kama kawaida na Mimi sijawahi muuzia vibaya hate kidogo mpaka na hela tunakopeshani na sisi tuko Mikoa mbalimbali hapa Tanzania hayo mawazo finyu peleka hukooooo
 
Bwana we

Leo nimekumbukwa na demu wa kitaaambo ambaye alinikataaga na kuolewa na mwanaume mwengine.

Eti amenimis, ananikumbuka, amenimis, ha ha haaaa baada ya maisha kuwa magumu.

Je nimfanyeje FISI Kama huyu ambaye anataka kurudiana nami baada ya kupigika???
Mwenzio kaolewa wewe bado tu hujaoa?
 
Back
Top Bottom