mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,963
Bwana we
Leo nimekumbukwa na demu wa kitaaambo ambaye alinikataaga na kuolewa na mwanaume mwengine.
Eti amenimis, ananikumbuka, amenimis, ha ha haaaa baada ya maisha kuwa magumu.
Je nimfanyeje FISI Kama huyu ambaye anataka kurudiana nami baada ya kupigika???
Leo nimekumbukwa na demu wa kitaaambo ambaye alinikataaga na kuolewa na mwanaume mwengine.
Eti amenimis, ananikumbuka, amenimis, ha ha haaaa baada ya maisha kuwa magumu.
Je nimfanyeje FISI Kama huyu ambaye anataka kurudiana nami baada ya kupigika???