mnh mie naogopa khasaaa, na sasa naona tafarani mkasa huu namie wataka kuntokea,
kuna mjimama flani anakaa jirani na nyumbba niliopangisha karibu na chuo , chuo kiomoja hapa kisiwani Unguja, huyo mmama anauza kiduka, wakati naenda kununua vitu vya kupika akajidai kanipenda na kuna mtoto wa dadake anataka nimuowe(mie sjaoa bado) mwanzo nikakubali nikajua ananizengua tuu, mwisho nikamchomolea kwa vile huyo mtoto wenyewe yuko mbali, anakua mgumu kuelewa na saivi nishamstukia kua hana ukwaju wala ubuyu ila ananitaka yeye, mana anasema "wanaokuja hapa dukani wote nawaona hawajatulia kama weye, naitapenda kama utamuoa mwanangu, " saivi simwelewi, na zaidi mumewe tatizo mana watu wa huku wanapigana ndumba si mchezo, namuogopa huyo mumewe.
naogopa miee , nisije kojoleshwa dagaa namie
Eeh mungu nisaidie uniepushe na hili janga.