Nimecheka sana. Wewe utakuwa jirani yangu wewe! Siku aliokuwa anagawa vizibao nilimuona, moyoni nilihuzunika sana.Hahahaaaa...huyu mama dereva boda boda walimfanyia kitu mbaya sanaaa ..
Alikuwa anawagawia vizibao vya "nani Kama mama" katika kampeni za mwaka Jana lakini cha ajabu hawakumpigia kura ..teh teh teh!!
[HASHTAG]#dereva[/HASHTAG] pikipiki wote wa
-goba
-matosa
-tegeta A
-njia nne(goba)
-king'ongo
-kimara
-kibamba
-mpiji magohe
-kwembe
-msumi
-mbezi louis
-makabe .....
Na mimi mwenyewe hahahaa
MUNGU ANATUONA UJUE ..!!!([emoji23])
Wema woote aliotufanyia wa kutupatia vizibao nk lakini bado tukamtosa! Yeuuuuuwii
Hahahaaa na makongamano ya vijana siku hizi yameyeyuka ...Nimecheka sana. Wewe utakuwa jirani yangu wewe! Siku aliokuwa anagawa vizibao nilimuona, moyoni nilihuzunika sana.
YapHuenda amerudi UDSM
Najiuliza tu, slogan hiyo she was suppoed to use kwenye VITI MAALUM 'UWT'Mbavu zangu jamani, hahahaahaha
Na ule haukua wema,Hahahaaaa...huyu mama dereva boda boda walimfanyia kitu mbaya sanaaa ..
Alikuwa anawagawia vizibao vya "nani Kama mama" katika kampeni za mwaka Jana lakini cha ajabu hawakumpigia kura ..teh teh teh!!
[HASHTAG]#dereva[/HASHTAG] pikipiki wote wa
-goba
-matosa
-tegeta A
-njia nne(goba)
-king'ongo
-kimara
-kibamba
-mpiji magohe
-kwembe
-msumi
-mbezi louis
-makabe .....
Na mimi mwenyewe hahahaa
MUNGU ANATUONA UJUE ..!!!([emoji23])
Wema woote aliotufanyia wa kutupatia vizibao nk lakini bado tukamtosa! Yeuuuuuwii
Msuko wa kuomba huruma ya wapiga kura hiyo.Daa huyu mama nampendaga na Msuko wake wa sh. 800/= tuu
hata asingegombea ndio msuko wakeMsuko wa kuomba huruma ya wapiga kura hiyo.
KabisaaNa ule haukua wema,
mama alipigwa za uso na Mnyika, siasa zimemshinda maana hata mwanzo alibebwa na Kikwete tu hakuwa na nguvu kisiasa.
hata mi nimemwelewa yani acha tu man.................Ila tuache utani, mama ni mzuri, na huo msuko wake simple hadir raha. Sio unawekelea maminyweele unakuwa kama jini
Na mamiwani makubwa kama ya Amos Makalla[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Daa huyu mama nampendaga na Msuko wake wa sh. 800/= tuu