Aliko Dkt. Fenela Mkangala

Nimecheka sana. Wewe utakuwa jirani yangu wewe! Siku aliokuwa anagawa vizibao nilimuona, moyoni nilihuzunika sana.
 
Safari ijayo akigombea anapita bila kampeni.
Watu hawamtaki Mnyika kwa sasa
 
Nimecheka sana. Wewe utakuwa jirani yangu wewe! Siku aliokuwa anagawa vizibao nilimuona, moyoni nilihuzunika sana.
Hahahaaa na makongamano ya vijana siku hizi yameyeyuka ...
Siasa hizi jamani....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ila tuache utani, mama ni mzuri, na huo msuko wake simple hadir raha. Sio unawekelea maminyweele unakuwa kama jini
 
Na ule haukua wema,
 
Mkuu amwonee huruma hatw kwenye viti maalum na teuz zijazo
 
Ila tuache utani, mama ni mzuri, na huo msuko wake simple hadir raha. Sio unawekelea maminyweele unakuwa kama jini
hata mi nimemwelewa yani acha tu man.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…