Kama hii ni kweli basi ni vizuri sana. Step inayofuata ni kuelekeza nguvu kwenye viwanda vidogo vya mafuta ya alizeti ili baada ya miaka mitano angalau 90% ya mafuta yote ya kupikia yatokane na alizeti/karanga/ufuta/nk inayozalishwa na wakulima wa Kibaigwa, Buyagu, Ng'wawaza, Idukilo, Maganzo, n.k tusinunue mafuta kutoka malaysia/indonesia tunayo ardhi ya kutosha kutulisha!!!