Mkomamanga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 815
- 189
Huu ni uwongo wala hakuna haja ya kupoteza pesa na mawazo yetu kujadili uongo uliotungwa na TISS kwa kushirikiana na Kova na washirika wake. Kama alikodiwa basi ni Al Shaabab maana waliosema wataandamana kupinga maandamano ya madaktari tumewaona na kwa nini wanatataka kuandamana wanajua kwa sababu Dr. Uli alisema zaidi kwa madaktari wenziwe sasa mashaka na wasiwasi ni kama wakiamua kufanya kama ya Mwembe Yanga... itakuwa zaidi ya noma!!! Ndo bongo yetu tujipange waongo wasirudi 2015 mi nadhani ndilo suluhisho. Madaktari turudi tuchape kazi tukijua saa ya ukombozi inakuja, kila aliye na uwezo wa kuandika aelimishe jamii juu ya umuhimu wa mageuzi na 2015 watakuwa wao na gangsters wao wa Kenya kazi itakamilika kabla ya Nov.2015 kisha kama wakenya wataendelea kuwa chanzo cha kuleta ma-gangster tutafanya ya Charles Njonjo 1977 kuvunja EAC