Sio swala la kubishaniwa hili, nenda mfollow rayc1982 uiangalie hiyo picha aliiweka jana! Caption yake ndiyo hiyo hizo blog si wanacopiana so alivyocopy mmoja wote wameweka hivyo!! Nimeiangalia now tena ni picha ya tatu kutoka mwanzo ili uhakiki mie nimeshindwa kuweka hapa